Habari Mpya

Powered by Blogger.

Videos

KITAIFA

KIMATAIFA

BIASHARA

KILIMO

HABARI PICHA

» » USIKWEPE KILIMO MAANA NI HAZINA
Unknown

Watanzania na Wafrika wengi tumekuwa tukidharau kilimo,hasa wakati watu wengi tulipoanza kuhamia mjini,tukaanza kusahau jembe,hatimaye wasio na elimu wamebaki kuishi kwa mashaka kutokana na kupoteza matumaini ya kufanikiwa.Watu wengi wenyemafanikio kiimo ni sehemu ya maisha yao maana wameisha kujua umuhimu na mafanikio kupitia mazao.

«
Mbele
KILIMO CHA SWEET MEON NI KAMA MADINI.
»
Nyuma
Jinsi ya kuanzisha biashara ya vipodozi