Habari Mpya

Powered by Blogger.

Videos

KITAIFA

KIMATAIFA

BIASHARA

KILIMO

HABARI PICHA

» » LEMA KUJITOSA KWENYE KAMPENI
Unknown

Mhe. Godbless Jonathan Lema .

" Kampeni za Ubunge Arusha Mjini zinaanza kesho Novemba 5, 2015

Uchaguzi utafanyika Disemba 13, 2015

Bado tunapambania
#Mabadiliko
Tushirikiane kufanya mabadiliko makubwa katika Halmashauri yetu ya Jiji la Arusha. Tuna madiwani 24 kati ya 25 walioshinda kwenye Kata.

Tunatakiwa sasa kutetea nafasi yetu ya Ubunge kwa kura nyingi mno."HAYO YAMESEMWA NA WADAU WA UKAWA.


«
Mbele
»
Nyuma
The Wrath Of Vajra