Mhe. Godbless Jonathan Lema .
" Kampeni za Ubunge Arusha Mjini zinaanza kesho Novemba 5, 2015
Uchaguzi utafanyika Disemba 13, 2015
Bado tunapambania #Mabadiliko
Tushirikiane kufanya mabadiliko makubwa katika Halmashauri yetu ya Jiji la Arusha. Tuna madiwani 24 kati ya 25 walioshinda kwenye Kata.
Tunatakiwa sasa kutetea nafasi yetu ya Ubunge kwa kura nyingi mno."HAYO YAMESEMWA NA WADAU WA UKAWA.
" Kampeni za Ubunge Arusha Mjini zinaanza kesho Novemba 5, 2015
Uchaguzi utafanyika Disemba 13, 2015
Bado tunapambania #Mabadiliko
Tushirikiane kufanya mabadiliko makubwa katika Halmashauri yetu ya Jiji la Arusha. Tuna madiwani 24 kati ya 25 walioshinda kwenye Kata.
Tunatakiwa sasa kutetea nafasi yetu ya Ubunge kwa kura nyingi mno."HAYO YAMESEMWA NA WADAU WA UKAWA.