Habari Mpya

Powered by Blogger.

Videos

KITAIFA

KIMATAIFA

BIASHARA

KILIMO

HABARI PICHA

» » » Je! ni halali nchi kutumia Noti aina mbili?na kama ni halali kwanini mataifa mengine hawatumii?
Unknown

Ni wazi kwamba nchi yetu imevamiwa na wahalifu ambao hutumia Nguvu za Giza kupumbaza watanzania wasione makosa yanayo tendwa na utawala uliok madalakani,tangu nizaliwe sijawahi kuona Nchi yeyote ikitumia noti aina mbili,ila kwa mara ya kwanza nimeiona Tanzania NA WANAOFANYA HAYA WAKO SALAMA WALA HAWANA WASIWASI.
Maisha yamepanda na suruhisho hakuna kwa wajisemeao kuwa ni viongozi wa taifa huku wanadidimiza nchi na kujiwekea wigo wa ulinzi kwa kutumia Dola,haki ya mwananchi kufanya maamuzi inauwawa na kupuuzwa ilimradi wenye madaraka wale na kujikinai wanavyotaka,noti zetu halali siyo hizi za utawala wa kikwete,ndiyo maana hata marekani  imewekea kikwazo moja ya Benk inayojihusisha na utakatishaji wa Pesa,moja wapo ya maswali tunayopaswa kujiuliza ni pamoja na kwanini noti mpya ni noti zinazolika,na hata zilipotolewa serikali haikufuta za zamani,hii imekula kwetu,na nawahurumia sana wanaoshabikia ccm ambayo imetupelekea umasiini na madeni ambayo i zaidi ya yale tuliyosamehewa miaka kumi iliyopita,Serikali haina pesa pesa wamebeba viongozi wa kisiasa za chama tawala,kitu ambacho kinaligarimu taifa hadi sasa waliyo fanya uhalifu wanatumia chuki kujisafisha na kuwafanya watanzania wasione uovu wao,wanausukuia ambao hawajawahi kuchukua Dola na wao kutumia pesa zetu kuua uchumi na kuhaibu maisha ya wananchi,huku wakiimba amani amani huku wanaua na kuharibu hazina za vizazi vijavyo.

«
Mbele
Rushwa hii ya Magufuli haitafautiani na ile ya Maisha Bora kwa kasi mpya.
»
Nyuma
Bodaboda wasema Kauli ya Magufuli ni maneno tu! kama Ahadi za JK