Habari Mpya

Powered by Blogger.

Videos

KITAIFA

KIMATAIFA

BIASHARA

KILIMO

HABARI PICHA

Anonymous

Unknown

LEMA KUJITOSA KWENYE KAMPENI

Mhe. Godbless Jonathan Lema . " Kampeni za Ubunge Arusha Mjini zinaanza kesho Novemba 5, 2015 Uchaguzi utafanyika Disemba 13, 2015 Bado tunapambania #Mabadiliko Tushirikiane kufanya mabadiliko makubwa...

read more
Unknown

The Wrath Of Vajra

Unknown

Unajua Thamani ya tofali moja ya Dhahabu ambayo ni kilo moja?Jihoji Mtanzania

Tujihoji kwanza hata kama una maslahi binafsi na ccm jiulize thamani ya Madini yetu na thamani unayaishi ukipata jibu ya kuwa tunahitaji mabadiliko,chukua hatua bila kuangalia na kusikia...

read more
Unknown

Rushwa hii ya Magufuli haitafautiani na ile ya Maisha Bora kwa kasi mpya.

Baada ya magufuli kusema pale dodoma kuwa hata waangusha wana ccm,kisha akasema anajua shida za watanzania,kisha akaja na Kutetea waendesha bodaboda na mama ntilie,alipofeli sasa amekuja na rushwa...

read more
Unknown

Je! ni halali nchi kutumia Noti aina mbili?na kama ni halali kwanini mataifa mengine hawatumii?

Ni wazi kwamba nchi yetu imevamiwa na wahalifu ambao hutumia Nguvu za Giza kupumbaza watanzania wasione makosa yanayo tendwa na utawala uliok madalakani,tangu nizaliwe sijawahi kuona Nchi yeyote...

read more
Unknown

Bodaboda wasema Kauli ya Magufuli ni maneno tu! kama Ahadi za JK

Foko news imekua ikipata habari za michanganuo mbalimbali ya vijana wengi maeneombalimbali kuhusiana na kauli za Magufuli aliyedai kuwa endapo kama watamchagua atahakikisha wasikamatwe na polisi,kitu ambacho makundi...

read more
Unknown

Walipochukua Fomu wadaku hawakukosa la kusema

Wadaku katika medani ya kuuza magazeti na kutumiwa na wahujumu uchumi wa nchi,kitu ambacho kinawatafuna watanzania na hata hao wanaofanya udaku kupotosha watu kwa kuingiza taifa kwenye utawala...

read more
Unknown

SIRI YAFICHUKA LIPUMBA NI MCCM

Baadhi ya watanzania wamesema pamoja na Lipumba kudai katika hotuba yake kuwa hajaafiki Mtu aliye husika kutoleta katiba ya wananchi,ailete kwa kuhamia UKAWA kuileta katiba,wamedai kama angelikuwa mzalendo...

read more
Unknown

Timu iliyo pangwa Ukawa ni watu wenye uwezo wa kisaikolojia na kusimamia wanachokijua.

Uteuzi wa umoja wa Ukawa umekuwa Gumzo kwa watanzania kwa kuweka wagombea wachapa kazi ambao wote wanauwezo wa kusimama mahali palipobomoka pakatengenezeka,Foko News ikiongea na baadhi ya wataalam...

read more
Unknown

Lowassa akiwa katika hotuba asema oct/25 Ukawa itachukua Dola.

Asema kinachompa msukumo wa kugombea ni kuhusu kulitumikia watanzania, na Ukawa,anasema kila mwenyenia ya kugombea ni mwenye msukumo wa ndani wenye nia ya kujitolea kwa wananchi,na lazima kuwa...

read more
Unknown

Mhe.Juma Duni Haji,Asema umasikini wa watanzania unafanywa kimakusudi.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) ngazi ya Taifa na Waziri wa Afya wa Serikali ya Zanzibar, Mhe.Juma Duni Haji amepitishwa rasmi kuwa Mgombea Mwenza wa Mhe.Edward...

read more
Unknown

Uwezekano wa kuzuia goli la mkono Ni mkubwa,na Lowassa atapeperusha Bendera.

Wakati mheshimiwa Lowassa akiwekwa rasmi Ukawa,uwezekano wa kuzuia Goli la mkono upo,maneno hayo yamewekwa wazi na Halima Mdee,kwa kujiamini na maneno hayo yamegusa wengi na kuonyesha matumaini makubwa...

read more
Unknown

Milca Kakete Aingiza sokoni album zake Mbili kwa mpigo.

Mwimaji wa music wa Injili aishiye Canada Milca Cakete,baada ya kufanya ziara Tanzania na Kenya sasa ameachia album zake mbili rasimi,ambazo ni NATAMANI,naNAKUNG'ANG'ANIA,zinapatikana madukani katika maduka ya kuuza...

read more